#maombi#Mungu#wokovu#kuomba
muendelezo wa sehemu ya kwanza..........
Tunahitaji kuomba ili tubadilishe maisha yetu, tunahitaji kuomba ili kudhihilisha imani yetu kwa
Mungu wetu ambaye tunamtegemea, tunahitaji kuomba ili tupate rehema na neema ya
kutuwezesha kuishi maisha matakatifu, tunahitaji kuomba ili tukue kiroho. Lakini vipo
vipingamizi/vikwazo ambavyo vinatokana na sisi wenyewe, ambavyo vinasababisha maombi yetu
yasijibiwe. Vikwazo hivyo ni kama vifuatavyo:-
/watch/sKriWc51dXk1i
#sirizabiblia
follow us on
website:www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
Instagram/Facebook/Tiktok- SIRI ZA BIBLIA